Tuesday 18 March 2014

Afya na mazingira, je ni sawa kuchoma taka barabarani?

Mkazi wa Kawe jijini Dar es Salaam akipita pembezoni mwa takataka zilizochomwa eneo linaloangaliana na kituo cha polisi cha kawe.
Vitendo hivi vya kuchoma takataka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es Salaam yakiwemo karibu na makazi ya watu pamoja na barabarani yamekuwa yakiendelea bila kujali afya za wapiti njia wala watu waliojirani na maeneo hayo. Swali lipo pale pale, je ni sawa kuchoma takataka barabarani na maeneo karibu na makazi ya watu?

No comments:

Post a Comment