Tuesday 18 March 2014

Danger: Mdau adandia lifti nyuma ya lori la mafuta

Mkazi wa jiji la Dar es Salaam(jina halikufahamika) ambaye ni mmachinga akiwa amedandia nyuma ya lori la mafuta lenye alama ya tahadhari 'danger' eneo la Buguruni jijini Dar es Salaam. 



No comments:

Post a Comment