Sunday 23 February 2014

MASHINDANO YA KUKIMBIZA MAGARI(RALLY SPRINT 2014) YALIVYOFANA JIJINI DAR ES SALAAM


Askari Usalama wakimvalisha kofia ya usalama(Helmet) moja wa madereva kabla ya kuanza kushindana katika mashindano ya magari(Rally Sprint 2014) jana viwanya vya Tanganyika packers, Kawe jijini Dar es Salaam.

Mshika bendera(kushoto) akionesha bendera kwa dereva kuashiria mshindani amemaliza kuzunguka raundi zake. Kila mshindani alitakiwa azunguke raundi mbili mapema zaidi ya wenziye.
 
Mashabiki wa mashindano hayo wakifwatilia kwa makini.

 

 
Ajali Kazini: Askari usalama wakijitahidi kuinua gari lililobinuka wakati wa mashindano, hakuna aliyejeruhiwa kufwatiwa na ajali hiyo.
Madereva walioshiriki katika mashindano ya kukimbiza magari(Rally Sprint 2014).
Mshindi wa kwanza wa two wheel drive, Zuberi(kushoto) akifurahia zawadi ya kikombe na medali pamoja na cheti cha ushiriki mara baada ya kupewa na Kiongozi wa AATanzania, Mzee Birdi katika mashindano ya kukimbiza magari(Rally Sprint 2014) jana jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment