Thursday 6 March 2014

JINSI LUPITA NYONG'O NA MWANAMUZIKI RIHANNA WALIVYOVUTA MACHO YA WATU KWENYE PARIS FASHION SHOW WEEK

 
Muigizaji kutoka Kenya, Lupita Nyong'o na Mwanamuziki wa Marekani, Rihanna wakifurahia jambo kwenye Miu Miu fashion, Paris jana.
Rihanna na Lupita wakipata wasaa wa ukodak.
Rihanna na Lupita wakiwa kwenye mstari wa mbele kabisa kwenye Miu miu fashion, Paris jana.
Lupita akijipiga ukodak 'selfie' na warembo wenzake.
Muigizaji wa Marekani, Jared Leto akiwa na Mwanamuziki Rihanna kwenye Miu miu fashion, Paris jana.
Lupita Nyong'o akiteta jambo na muigizaji wa Marekani, Jared Leto. Hivi karibuni kumekuwa na tetesi mbalimbali za waigizaji hawa kuwa na uhusiano zaidi ya urafiki.

Muigizaji kutoka Kenya, Lupita Nyong'o akiongea na muigizaji na mwanamitindo wa Marekani, Ashley Oslen.

No comments:

Post a Comment