Monday 10 March 2014

JINSI NYAMA CHOMA FESTIVAL ILIVYOBAMBA JIJINI DAR

Hapa Mpishi akichoma Nyama kwa makini.
Wadau Amani Nkurlu(wapili kulia), Leonard Nkurlu(kulia) pamoja na wadau wengine wakipata wasaa wa ukodak kwenye Nyama Choma Festival jumamosi jijini Dar es Salaam.
Nyama ya kuku ikichomwa.
Mtangazaji wa Clouds fm, Adam Mchomvu(kushoto) pamoja na DJ K3(katikati) wakisawazisha swala la mziki kwenye Nyama Choma Festival iliyofanyika jumamosi jijini Dar es Salaam.
Wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakicheza na kufurahia mziki katika Nyama Choma festival iliyofanyika jumamosi viwanja vya Posta, Kijitonyama.
Maana halisi ya Tamasha la Nyama Choma. Hapa Nyama ya Mbuzi ikichomwa.
Wadau kutoka kona zote za jiji la Dar es Salaam wakifurahi na kubadilishana mawazo katika viwanja vya Posta ambapo Nyama Choma Festival ilifanyika siku ya jumamosi. Ulikuwa ni mkusanyiko wa aina yake.
Wadau

1 comment:

  1. I love this ncf( nyama choma festival) brings frnds all of Dar together in one place...!!

    ReplyDelete