Tuesday 31 December 2013

JK, SHEIN WAKABIDHIWA RASIMU YA PILI YA KATIBA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea rasimu ya pili ya katiba kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba katika hafla iliyofanyika karimjee jijini Dar es Salaam.

Rais wa Zanzibar, Dk.Ali Mohamed Shein akipokea rasimu ya pili ya katiba mpya kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya mabadiliko ya katiba, Jaji Joseph Warioba katika hafla iliyofanyika karimejee jijini Dar es Salaam.

 
Rais Jayakaya Kikwete akiwa amebeba rasimu ya pili ya katiba mpya kwenye hafla ya makabidhiano karimjee, jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment